:::: MENU ::::
  • Suitable for all screen sizes

  • Easy to Customize

  • Customizable fonts.

Simple, responsive theme, suitable for personal or corporate blog.

Monday 4 June 2018

Kubadili IMEI ya simu ni huduma unayoweza kuifanya kwenye simu ambazo ni rooted na ambazo hazija fanyiwa rooting. Leo nitawaonyesha jinsi ya kubadili IMEI kwenye simu ambazo hazija fanyiwa root, ila inaweza kuleta madhara pindi utakapo kosea hatua ninazo onyesha hapa,so be careful.
Jinsi ya kubadili IMEI ya simu bila ku-root simu yako:-
1. Download and install app ya mobile uncle app kutoka playstore kwenye simu yako
2. Ikishamaliza ku-install fungua mobile uncle app
3. Kisha chagua Engineering mode (MTK)
4. Shuka chini kisha bonyoza CDS Information
5. Chagua Radio information.
6. Ukisha chagua radio information utakuta option mbilihapo utachagua “Phone 2”
7. Baada ya hapo utaona option kama hii AT, Apo utaingiza AT (IMEI namba mpya) mfano (AT 000000000000000) ziwe tarakimu 15
8. Kisha bofya Send at command
9. Restart simu yako
Baada ya hapo utakuwa umefanikisha zoezi la kubadili IMEI ya simu yako unachotakiwa kufanya ni kuthibitisha kwa kupiga *#06#...
Try at your own risk
Kwani ukifanya hivi kwenye simu ambazo zimefungiwa na TCRA kwa kuwa ni fake utakua umevunja sheria za TCRA mimi sitahusika. Nimetoa njia hii ni kwa kujifunza tu…
Imeandalwa na Lewis.

1. Zima computer kwa kutumia start menu
Hii ninjia rahisi sana nadhani kila mtumiaji wa computer atakua anaifahamu vizuri. Cha kufanya ni kubofya start key kisha bonyeza shutdown.

2. Kutumia Alt + F4 button.
Bonyeza Alt + F4 kisha select shutdown. Sasa unachotakiwa ni kubonyeza OK ili kuzima computer yako.
Njia hii inafanya kazi katika vision zote za windows

3. Zima computer kwakutumia Run command.
Fungua Run program kwa kubonyeza Win key + R kwenye keyboard yako. Kisha andika shutdown /s kisha bonyeza Enter ilikuzima computer yako.,

4. Zima computer yako kupitia command prompt.
Bonyeza win key kwenye keyboard yako kisha search CMD, ifungue. Kisha andika kwenye command prompt shutdown /s kisha bonyeza enter, PC yako itazimika.

5. Zima computer yako kwa kupitia slidetoshutdown.exe program.
Fungua Run program kwa kubonyeza Win key + R kwenye keyboard yako. Kisha andika slidetoshutdown.exe kisha bonyeza Enter ilikuzima computer yako.,

6. Zima computer kwa kutumia Win + X kwenye window 10.
Njia hii inafanya kazi kwenye window 10 tu. Bofya Win + X kisha select shut down ili kuzima window 10.
Kwenye windows 7 ukibofya Win + X utafungua window mobility center.

7. Zima computer kupitia lockscreen.
Lock screen ya computer yako kwa kubonyeza kwa pamoja Win + L kisha bonyeza shutdown icon, computer itazima.

8. Zima computer kwa kutumia shortcut icon.
Rightclick kwenye desktop kisha select New> Shortcut. Kisha andika command ifuatayo:-  %windir%\system32\shutdown.exe -s -t 0 kisha bofya next ili kuendelea kisha andika jina la shortcut yako shutdown alafu bofya finish.
Utakapo bonyeza ili kufungua  hii shortcut computer itazimika.
Njia hii inafanya kazi katika vision zote za windows.
Imeandaliwa na #Mr_Lewis.
Thanks for your attention.
Thanks for visit this blog.
Thanks for read this post.
Ni raisi sana kuiset smartphone yako iwe kama CCTV camera, IPwebcam ndio suluisho la tatizo ilo. Fatana name mpaka mwisho wa Tutorial hii. IPwebcam is easily the best of the lot because it works through your browser, which gives it the cross platform compatibility.
Ili kuset simu yako iwe kama security camera (CCTV camera) fuata hatua zifuatazo:-To set up a security camera on android, follow these steps:-
1. Connect computer yako pamoja na smart phone kwa kutumia WI-FI Network
2. Install application ya IPWebcam kutoka google play store kwenye smart phone yako. 
3. Funga applications zote zinazotumia camera kwenye sim yako kwenye app switcher kabla ya kuendelea na hatua nyenginezo.
4. Launch application ya ipwebcam na ushuke mpaka chini kasha bunyeza start server. 
5. App itafunguka na itakuonyesha URL. Our URL was http:// 172.32.15.110:8080.
6. URL uliopewa kwenye ipwebcam ingiza kwenye browser ya computer yako sehem ya URL kasha bonyeza enter.
7. Itafunguka browser kasha utaona sehem imeandikwa video render, utaselect browser.
8. Chini ya video render utaona audio render, apo utaselect HTML wav.

Apo utakua ushamaliza sasa utaona live video kwenye browser. Vilevile unaweza kurecord video kwa kutumia browser. Kufanya ivo bofya kwenye red record button chini ya video. Kwa kutazama video itakayo recordiwa kwanza unatakiwa kudownload VLC media player kwenye computer yako.

Thursday 19 April 2018


NJIA YA KWANZA:
1.   Fungua cmd run as administrator. Ili kufanya ivyo…
·         Bofya Start Key kisha andika cmd.
·         Right click cmd kisha bonyeza run as administrator.
2.   Kisha andika kwenye cmd code zifuatazo:-
attrib -h -s -r -a /s /d Drive-Name:*.*
kisha bofya Enter.
Mpaka hapo utaona cmd inaanza kuscan driver uliyo ichagua nakuondoa shortcut virus zote.
Mfano nataka kuondoa virus kwenye drive H. code zangu zitakoa hivi:
                        attrib -h -s -r -a /s /d H:*.*
kisha ntabofya Enter
kama ikishindikana kuondoa shortcut virus kwa kutumia cmd jaribu njia ya pili kwa kutumia notepad.

NJIA YA PILI:
Toa Shotcut virus kwa .bat file unaweza tengeneza .bat file kwa kutumia Notepad katika computer yako, Fungua Notepad kwa ku-bofya window key + R kisha andika Notepad  alafu utabonyeza Enter. Copy code hapa chini kisha paste kwenye Notepad
@echo off
attrib -h -s -r -a /s /d Drive-Name:*.*
attrib -h -s -r -a /s /d Drive-Name:*.*
attrib -h -s -r -a /s /d Drive-Name:*.*
@echo complete
Badilisha Driver name kwa jina la flash yako
Save notepad file kama removevirus.bat kisha save. Hakikisha umesave file yako kwenye ya desktop

Kisha fungua file yako uliyo save katika Desktop kwa ku-double click, Baada ya hapo shotcut virus wote watatoka.
Imeandaliwa na Mr_Lewis.
Thanks for your attention.
Thanks for visit this Blog.
Thanks for read this post.

Matumaini yangu ni mzima wa afya…
Leo nina somo dogo tu na rahisi mno. Ni namna gani unaweza ukaongeza kasi ya ku-download kwenye IDM.. Kama huna software hii ya IDM basi ni vizuri ukaitafuta kwani inamsaada mkubwa kwenye masuala ya ku-download, nakama unayo naunaitaji kuongeza kasi ya ku-download kwenye IDM yako basi fuata hatua zifuatazo:-
1.    Fungua program ya IDM.
2.    Kisha bofya kwenye Options.
3.    Baada ya hapo utachagua connection.
4.    Kisha kwenye connection type speed chagua High speed: Direct connection (Ethernet/Cable) / Wi-Fi / Mobile 4G / other.
5.    Kisha kwenye defaelt max. conn. Number chagua 24.
6.    Kisha utabonyeza OK.
Kama kuna mahali hapajaeleweka tafadhali usisite kuuliza kwa ku-comment...
Imeandaliwa na Admin Mr_Lewis.
Thanks for your attention.
Thanks for visit this Blog.
Thanks for read this post.

Monday 16 April 2018

Habari…
Leo ningependa kuelekeza mbunu rahisi sana kama utakua makini, haiitaji uwe na computer ni simu yako tu ya mkononi(smartphone). Ni jinsi gani unaweza kupata wi-fi password ya sehemu yoyote kwa kutumia simu yako.
Fuatana nami hatua kwa hatua:-

1.    Download kwenye simu yako application hii Wi-Fi map kutoka play store.
2.    Washa wi-fi ya simu yako.
3.    Ifungue application (Wi-Fi map)
4.    Ukisha ifungua kwachini utaona majina ya wi-fi zilizokaribu nawe.
5.    Chagua wi-fi unayotaka kupata password zake.
6.    Kisha utabofya unlock password.
Mpaka kufikia hapo password zitakua zimesha funguka, pia unaweza ku-search wi-fi za eneo lolote sio lazima uwe karibu napo. Ili Kufanya hivyo:
·         Nenda kwenye alama ya search upande wa kulia juu kabisa.
·         Search eneo unalotaka, kisha utaona wi-fi zilizo on kwenye eneo hilo.
·         Baada ya hapo kama kawaida fuata maelekezo ya juu.

NB:

Muda mwengine app hii inatoa password zisizo sahihi kwahiyo itabidi ujaributena baadae itakupa password za kweli.

Imeandaliwa na Admin Mr_Lewis.
Thanks for your attention.
Thanks for visit this blog.
Thanks for read this post.

Saturday 14 April 2018




Habari…
Katika tutorial hii ningependa kukuelekeza ni jinsi gani unaweza kudukua/ku-hack simu ya mtu wako wa karibu (mpenzi, rafiki, mwanao nk) bila ya mwenyewe kujua. Copy9 app ndio app unayoweza kufanikisha yote hayo, itakupatia SMS, call history, GPS history bure kabisa, pamoja na sms kutoka kwenye mitandao ya kijamii ila kwa huduma hii itabidi ulipie.

Vitu vinavyo hitajika:-
·         Copy9 app
·         Simu(smartphone) ya mtu mlengwa
·         Smartphone nyengine au computer.

Hatua za kufuata:-
1.    Download copy9 app na install kwenye simu ya mlengwa wako.
2.    Copy9 app itakapo maliza ku-install ifungue.
3.    Bonyeza register new account ili kusajili account mpya ya copy9 app.
4.    Kubali terms and conditions za copy9 app kwa kubonyeza neno Agree.
5.    kisha tengeneza account mpya.
6.    Itakuletea kibox cha ujumbe kuhusu privacy guard weka tick kwenye remember my choice alafu utabofya Allow.
7.    Bonyeza kwenye activate this device ili kuiruhusu application ianze kufanya kaza yake.
8.    Kisha bonyeza kwenye configuration..
9.    Bonyeza kwenye hide icon copy9 kisha bofya Yes ili kuondoa app ya copy9 kwenye menu ya simu mwenye simu asije akaiona. Mpaka hapo utakua ushamalizana na simu ya mlengwa wako unaweza ukamrudishia…
10. Fungua my.copy9.com  kwenye browser ya simu nyengine au computer.
11. Kisha log in kwa kutumia account uliyo tengeneza kwenye simu ya mlengwa wako
12. Sasa utaweza kuona jina la simu ya mlengwa wako pamoja na GPS history,SMS history, call history na auto answer kwenye my dashboard upande wakulia.
13. Bonyeza unachopenda kukitazama kwenye simu ya mlengwa wako..
Imeandaliwa na Admin Mr_Lewis.
Thanks for your attention.
Thanks for visit this website.
Thanks for read this post.




matumaini yangu ni mzima wa afya..
Leo ntaelekeza ni namna gani unaweza ku-install window 7 kwenye simu yako ya mkononi, najua itakushangaza sana ila nirahisi mno kinachoitajika ni umakini wako tu katika kufuata hatua zifuatazo:-
1.    Download app hii Android windows, unaweza ukatumia browser yoyote ya simu yako, ukaingia Google na kui-search app hii ukaipata.
2.    Kabla ya kuinstall unatakiwa kuweka on Unknown sources, kwa kwenda kwenye Settings ya simu yako >nenda kwenye security >shuka chini kisha utaweka tick kwenye Unknown sourses, baada ya hapo nenda uka-install app yetu ya Android windows.
3.    Ikisha maliza ku-install ifungue kwa kubofya Open, mpaka kufikia hapo utakua ushakamilisha zoezi letu, simu ako itakua na muonekano wa Window 7
Imeandaliwa na Admin Mr_Lewis.
Thanks for your attention.
Thanks for visit this website.
Thanks for read this post.



Fungua  Notepad kisha andika au copy and paste command ifuatayo:-

@Echo off
Ipconfig/release

Save as Tzhacker.bat unaweza ukasave kwa kutumia jina lolote ila cha muhimu ni  .bat,  (Something.bat)
Kisha mtumie mtu unaetaka kumuharibia internet ya computer yake (your victim), pindi atakapo lifungua hili file IP address ya computer yake itapotea

Jinsi ya kuodoa tatizo hili
Kuondoa tatizo hili ni rahisi sana chakufanya:
Fungua notepad kisha andika command ifuatayo:-

IPconfig/renew

Save it as anyname.bat
Kisha ifungue kwa kudouble click tatizo litakua limekwisha….
Imeandaliwa na Admin Mr_Lewis.

Thanks for your attention.
Thanks for visit this website.
Thanks for read this post.


Habari…
Natumaini ni mzima wa afya.
Leo nimewaandalia kipindi kizuri wadau wangu natumaini mtakipenda. Ni namna gani unaweza ku-hack account ya facebook, gmail pamoja na youtube account na ukapata password na user name kwa urahisi kabisa, ila ntaelekeza ku-hack facebook account na unaweza kutumia njia hio hio ku-hack na account nyinginezo kama gmail na youtube kwani process ni zile zile tu..
Ili kufanikisha fuata hatua zifuatazo:-
1.    Ingia Google kwa kutumia browser ya computer yako.
2.    Kasha search z shadow
3.    Baada ya ku-search nenda kwenye z-shadow.us: home.  Website ya z shadow itafunguka.
4.    Bonyeza kwenye sign up ili kutengeneza account yako ya z shadow.
5.    Ukisha maliza ku sign up uta log in kwenye account yako ulio tengeneza.
6.    Ukisha log in utaona account mbalimbali kama facebook, gmail, youtube nk. Hapo utachagua page unayotaka ku-hack.
7.    Kasha uta-copy link in English.
8.    Mtumie mtu yeyote unaetaka kum-hack, kwa ku-paste link uliyo i-copy kwenye sehemu ya kuandika sms, (kupitia mitandao ya kijamii).
9.    Mshawishi kwa njia yoyote afungue ile link na a-log in.
10. Atakapofungua ile link itampeleka kwenye sehemu yaku log in. (kama uli-copy link ya facebook itampeleka kwenye page ya facebook na kama ni ya gmail nayo itampeleka  katika page ya gmail). Pindi tu atakapo log in password na user name zitaji-copy na kwenda moja kwa moja kwenye ile account yako uliyotengenza ya z shadow.
11. Baada ya hap[o chakufanya ni kutembelea account yako ya z shadow > click kweny my victims utakuta password na user name za watu wote walio log in kwenye link uliyo watumia..
Natumaini nimeeleweka na kama kuna mahali panakutatiza tafadhali usisite kuuliza kwa ku-comment ntakapoona comment yako ntakujibu
Imeandaliwa na Admin Mr_Lewis.

Thanks for your attention.
Thanks for visit this page.
Thanks for read this post.

A call-to-action text Contact us